Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amemteua Bw. Antony Diallo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA). Bw. Diallo anachukua nafasi ya Prof. Anthony Mshandete ambaye amemaliza muda wake. Uteuzi huu umeanza tarehe 09 Februari, 2023. Amemteua Mkuu wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed